JOSLIN
Joslin ambaye single ya 'NIITE BASI' ilipata kumuweka matawai ya juu kwenye medani ya muziki huo ameiambia Sports Lady kwamba singo yake hiyo ameitayarisha kwenye studio za One Love Fx chini ya mtayarishaji Tiddy Hotter.
"Nawaomba mashabiki wangu mnipokee kwa mikono miwili kupitia singo yangu hii ambayo naamini imejitosheleza katika kila Idara,"alisema.
Comments
Post a Comment