Ney na Diamond wakirekodiwa
MSANII wa muziki wa bongo
Fleva anayekwenda Elibariki Munishi maarufu kama ‘Ney Wa Mitego’ ameanza kazi
ya kurekodi video ya wimbo wake, Muziki Gani aliomshirikisha Nassib Abdul
‘Diamond’
Ney ameiambia Sports Lady leo kwamba video ambayo inatarajiwa kuwa ya aina yake
itarekodiwa katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam.
Alisema kazi ya kutayarisha
video hiyo imefanywa na kampuni ya Visual Lab chini ya Adam Juma, hivyo
amewataka mashabiki kukaa tayari kuipokea kazi hiyo pindi itakapokamilika.
Comments
Post a Comment