Timu ya Taifa ya Uganda 'The Cranes' jana imefanikiwa kutetea taji la michuano ya Cecafa Chalenji 2012 baada ya kuwabamiza jirani zao Kenya mabao 2-1 katika mchezo wa fainali.
Aidha, Zanzibar Heroes imetwaa nafasi ya tatu ya michuano hiy baada ya kuwabamiza ndugu zao Kilimanjar Stars ka matuta 6-5 kufuatia sare ya bao 1-1 .
Comments
Post a Comment