SIMBA SC YAWAACHIA MAKINDA WAKE MANOTI YOTE YA UHAI CUP


KUFUATIA kupewa zawadi ya mshindi wa tatu katika mashindano ya Kombe la Uhai yaliyomalizika hivi karibuni, uongozi wa Simba umeamua kuwapa wachezaji wake fedha zote (Sh laki tano) za zawadi kwa mshindi wa nafasi hiyo wagawane. 
Hatua hii ya uongozi ina lengo la kuwafanya wachezaji walioshiriki mashindano hayo wajitume zaidi katika mashindano mengine ambayo watahitajika kuitumikia klabu ya Simba.

Comments