AZAM WAFUNIKA TUZO ZA LIGI KUU

SOURCE: BIN ZUBEIRY (http/bongostaz.blogspot.com)
Mgeni rasmi, Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye kushoto akiwa na Meneja Masoko wa Vodacom Kevin Twisa 'Kifaa'



Katikati ni Sumaye, kulia Twisa na kuhsoto Mwenyekiti wa Simba SC, Alhaj Ismail Aden Rage Mbunge wa Tabora Mjini (CCM) na mmiliki wa kituo cha Redio cha Voice Of Tabora


Ofisa Habari wa TFF, Boniphace Wambura kulia


Katibu wa Simba SC, Evodius Mtawala kushoto na rafiki zake


Twisa akihutubia


Mwenyekiki wa Simba, Rage kulia, Mwenyekiti wa Azam, Mzee Mohamed Said katikati na Katibu Mkuu wa Yanga, Celestine Mwesigwa  


Waziri Mkuu wa zamani, kipenzi cha Watanzania, Sumaye


Msaidizi wa Sumaye, Chombo kulia akizungumza na bosi wake


Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Osiah kulia, katikati Twisa wakiwa na Sumaye


Wadau, Dina Ismail kushoto na Mohamed Mharizo


Warembo wa Vodacom


Maswahiba wa miaka nenda, rudi, Grace Hoka, Mhariri wa BINGWA na Dina Ismail, wa dinaismail.blogspot.com ambaye pia ni Mwandashi wa Habari za Michezo Mwandamizi wa gazeti la Tanzania Daima


Twisa kulia na Sumaye 


Rage na Sumaye wakiteta


Sumaye


Sumaye


Sumaye


Sumaye


BIN ZUBEIRY


Mzee Said kulia, Mwesigwa na Jaffar Iddi, Msemaji wa Azam 


Vimwana wa Vodacom na mataji, tuzo mbalimbali walizokabidhiwa washindi


Refa bora, Martine Sanya kulia akipokea tuzo yake kutoka kwa Mh Sumaye. Kushoto ni Twisa 


Rage amkimpokelea tuzo Kaseja


Mzee Said akipokea tuzo


Mwesigwa akipokea hundi ya Yanga


Mzee Said akipokea tuzo ya Azam FC


Rage akipokea hundi ya Simba SC


Angetile akipongezana na Mh Sumaye


Wadau wa Yanga, katika picha ya pamoja na Mh Sumaye


Wadau wa Simba SC katika picha ya pamoja na Mh Sumaye


Angetile kulia na kushoto Wambura katika picha ya pamoja na Sumaye
Frank damayo


Mlimbwende


Damayo akipokea tuzo yake


Damayo akichukua msosi


Mh Mbunge na kiungo wa zamani wa Simba SC, Rage 'akifakamia' 
Na Prince Akbar
JUMA Kaseja, kipa wa Simba SC usiku huu ameibuka kipa bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara na kujinyakulia kitita cha Sh. Milioni 3.3 kutoka kwa wadhamini Vodacom.
Katika hafla ya kukabidhi tuzo za washindi wa Ligi Kuu ya Vodacom zilizofanyika kwenye hoteli ya Double Tree By Hilton, Masaki, Dar es Salaam, beki wa Azam FC, Aggrey Morris alishinda tuzo ya Mchezaji Bora wa msimu wa Ligi Kuu.
Aidha, Azam FC washindi wa pili wa Ligi Kuu walitwaa pia tuzo za timu yenye nidhamu, wakati kocha waom, Stewart Hall kutoka Uingereza, aliibuka kocha bora, mshambuliaji wake John Bocco ‘Adebayor’ aliibuka mfungaji bora.
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Angetile Osiah pia alitambulisha tuzo maalum kwa wachezaji chipukizi waliopandishwa kutoka timu za vijana na kufanya vizuri katika timu za wakubwa.
Katika tuzo hizo, kiungo mpya wa Yanga, Frank Damayo sambamba na Rashid Mandawa wa Coastal Union na Hassan Dilunga wa Ruvu Shooting, kila mmoja alitwaa Sh. Milioni 1.
Katika hafla hiyo, ambayo mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, mwamuzi Martin Sanya alishinda tuzo ya refa bora, wakati bingwa Simba alizawadiwa Milioni 50, mshindi wa pili Azam Milioni 22 na Yanga aliyekuwa wa tatu Milioni 15.5

Comments