KIKOSI cha mabingwa wa ligi kuu soka Tanzania Bara Simba Sc kinatarajiwa kwenda jijini Mwanza ijumaa hii kwa ajili ya
kupeleka ubingwa wa ligi hiyo katika mikoa ya Kanda ya Ziwa.
Ofisa habari wa Simba, Ezekiel Kamwaga amesema kwamba kikosi hicho jumamosi kitacheza jijini Mwanza na timu itakayotangazwa baadaye kabla ya jumapili kukwaana na Toto Africans katika
uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga.
Baadhi ya wachezaji wa Simba
walianza mazoezi ya uwanjani jana kwenye viwanja vya TCC Chang’ombe kwa ajili
ya kujiandaa michuno ya Kagame inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi jijini Dar es Salaam juni 14.
SIMBA MNAHANGAIKA NA HUU UBINGWA BALAA,HIVI NIWAULIZE KITI WANYAMA,KWANI MARA YA MWISHO KUCHUKUA UBINGWA HUU ILIKUA MWAKA GANI??MBONA KAMA MNAWEWESEKA SANA KAMA VILE HAMJALICHUKUA HILI KOMBE MIAKA ISHIRINI ILIYOPITA MAY BE,HEBU ACHENI ULIMBUKENI,JIANDAENI NA KAGAME AMBALO NI KOMBE LA KIMATAIFA ZAIDI NA AMBALO LIKO MITAA YA JANGWANI,ACHANENI NA KUTAPA TAPA NA KOMBE LA MBUZI AMBALO HATA TUKUYU STARS KUTOKA KIJIJINI TUKUYU IMEWAHI KULICHUKUA KIMYA KIMYA BILA KELELE KAMA HIZI ZENU
ReplyDeleteSAYZ MDAU WA BOMBA,BOSTON,USA.