VIONGOZI WAPYA RT WAANZA MIKAKATI

 BAADHI ya viongozi wapya wa chama cha Riadha Tanzania (RT) wakijadiliana masuala mbalimbali kuhusiana na chama hicho mara baada ya kuchaguliwa hivi karibuni.
Kutoka kushoto ni Tullo Chambo (Mjumbe) Suleiman Is-haq (Mweka Hazina) na Suleiman Nyambui (Katibu Mkuu) pamoja na mdau wa mamapipiro blog, Maria Kayala.


Comments