UMEKUCHA UCHAGUZI YANGA SC

 Katibu wa kamati ya uchaguzi ya Yanga Francis Kaswahili (pichani) akizungumzia uchaguzi huo ambapo amewataka wanachama wote ambao hawajalipa ada kufanya hivyo ili kuweza kushiriki katika mkutano huo. 
Alisema kupitia uchaguzi huo zitajazwa nafasi za Mwenyekiti,Makamu Mwenyekiti na wajumbe wanne ambapo wanachama wayakaowania uongozi wanatakiwa kuwasilisha fomu zao wakiambatanisha risiti ya kununulia fomu, vyeti vya shule, uthibitisho wa uraia, namba ya uanachama na picha mbili za passport size.

Comments