STARS WAKABIDHIWA BENDERA, KUWAFUATA KINA DROGBA KESHO

 NAibu waziri wa habari, vijana, Utamaduni na Michezo Amos makalla akimkabidhi bendera ya Taifa Nahodha wa Stars Juma Kaseja, wakati wa hafka ya kuiaga timu hiyo leo kwenye hoteli ya Tansoma.Stars inaondoka alfajir ya kesho kwenda Ivory Coast kwa ajili ya mchezo wao wa mchujo wa komve la Dunia utakaopigwa juni mbil.Wengine ni meneja wa bia ya Kilimanjaro inayoidhamini9 timu hiyo George Kavise, Mwenyekiti wa BMT Dioniz Malinzi na Kocha wa Stars, Kim Poulsen.
 Nahodha wa Stars Juma Kasejha akizungumza machache
                                                    Baadhi ya wachezaji wa Stars
                                                  Baadhi ya wachezaji waliohudhuria hafla hiyo leo

Comments