MISS DAR INTER COLLEGE YAZIDI KUSHIKA KASI

 Baadhi ya warembo wanaowania taji la Miss Dar Inter College 2012 wakiwa katika pozi mara baada ya mazoezi yao ya kila siku yanayofanyika kwenye hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.
Mkufunzi wa warembo hao Marylydia Boniface akiwapa maneno mawili matatu warembo hao.

Comments