MASHINDANO YA JUDO YARINDIMA JIJINI DAR ES SALAAM


Rais wa Judo Tanzania Bw, Khalifa Kiumbemoto katikati akifuatila kwa makini Mashindano ya Mchezo huo yaliyofanyika katika Ukumbi wa Landmark jijini Dar es Salaam wa kwanza kushoto kwake ni Mkurugenzi msaidizi wa Wizara ya Habari na Michezo Bw. Charles Mattoke na wapili kushoto kwake ni Mdhamini wa Mashindano hayo kutoka Germin Copperation LTD Bw. Yulliy Tarverdyan. Katika Mashindano hayo Watanzania walionekana kushindwa na wachezaji kutoka Zanzibar.
(PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE)
Mchezaji wa Judo kutoka CCP Polisi Moshi (wa juu) Bw. Kisamerwa Magangwa akiwa amemgeuza mshindani wake Bw,.Mohammed Juma kutoka Magereza Ukonga jijini Dar es Salaam katika mchezo huo.
Baadhi ya mashabiki walioudhuria katika
mpambano wa mchezo huo wakifuatilia kwa makini.
Wataalamu wa kufuatilia muda katika mashindano ya mchezo huo wakifuatilia kwa umakini mchezo huo.

Comments