TOMASI MASHARI AMCHAKAZA SELEMANI GALILE KWA POINTI NA KUNYAKUWA UBINGWA WA TAIFA

 Msanii wa Hiphop nchini Prof J akimvisha mashari mkanda wa ubingwa
 Bondia Selemani Galile akipambanma na Tomasi Mashari 'Simba' wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa Taifa uliofanyika Dar es Salaam jana Mashari alishinda kwa pointi na kunyakua ubingwa
Bondia Selemani Galile akipambanma na Tomasi Mashari 'Simba' wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa Taifa uliofanyika Dar es Salaam jana Mashari alishinda kwa pointi na kunyakua ubingwa.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

Comments