Akizungumzia kuhusu albamu hiyo alisema, “Sitamaliza mwaka
huu bila kutoa albamu na ninahitaji kuachia kazi hiyo mpya ambayo itakuwa
maalumu kwa ajili ya mashabiki wangu wa London ,
Uingereza.”
Usher alisema: “Ninahitaji kuushika ulimwengu huu kwa
kushirikiana na Labrinth na nina hakika kazi hiyo itashika nchi za U.S. na U.K. ”
Usher aliongeza
Comments
Post a Comment