WAKATI kikosi cha watu 35 cha timu ya ES Setif ya Algeria kinatarajiwa kuwasili nchini kesho alfajiri kwa ndege ya EgyptAir kwa ajili ya mechi
ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Simba itakayochezwa Machi 25 mwaka huu Uwanja
wa Taifa, Dar es Salaam .
Wachezaji 20 katika msafara huo ni Mohamed Benhamou, Sofiane
Bengorine, Riadh Benchadi, Smain Diss, Farouk Belkaid, Khaled Gourmi, Mourad
Delhoum, Said Arroussi, Mokhtar Benmoussa, Tarek Berguiga, Mohamed Aoudi na
Amir Karaoui.
Wengine ni Mohamed El Amine Tiouli, Racid Ferrahi, Youcef
Ghezzali, Youssef Sofiane, Mokhtar Megueni, Rachid Nadji, Abderrahmane Hachoud
na Akram Djahnit. Kocha wa timu hiyo ni Alain Norbert Geiger ambaye ni raia wa
Uswisi.
Comments
Post a Comment