Rais wa Fifa Sepp Blatter amesema kuwa bima hiyo pia itavinufaisha vilabu, vyama vya
soka katika michezo yote inayosimamiwa na shirikisho hilo ambapo mpango huo utaanza katika fainali
za kombe la dunia mwaka 2014.
Fifa imefuata nyayo za Shirikisho la soka Ulaya (UEFA)
ambalo lilianza mpango huo mwezi januri mwaka huu.
Comments
Post a Comment