JANET SOSTENES AFUNIKA WAKATI WA UZINDUZI WA KIPINDI CHAKE CHA ‘ONGEA NA JANET’.

 Sehemu maalum iliyoandaliwa na kupambwa na Red Carpet kwa ajili ya hafla ya uzinduzi wa kipindi kipya cha Ongea na Janet uliofanyika Chichi Hoteli Kinondoni jijini Dar es Salaam. Kipindi hiki kitakuwa kikirushwa na Clouds TV kila siku ya Jumatatu Saa tatu kamili.

 Baadhi ya wageni waalikwa wakiangalia Kipindi cha Ongea na Janet ikionyeshwa kwa wadau kwa mara ya kwanza
 Msanii  wa Bongo Movie Cloud akibadilishana mawazo na AY wakati wa hafla ya uzinduzi wa Kipindi cha Ongea na Janet.
 Mtangazaji wa Kipindi cha Ongea na Janet Bi. Janet Sostenes akielezea madhumuni ya kipindi hicho na changamoto anazo kabiliana nazo wakati wa utayarishaji ambapo pia amewataka watu binafsi, kampuni na wapenda maendeleo kujitokeza kutoa udhamini ili kufanikisha lengo lililokusudiwa.

 Marafiki wa Karibu wa Janet
 Isack Gamba wa ITV/ Radio One akibadilishana mawazo na Mr. Donald Talawa.

 Msosi time.

The same MO BLOG Editor Lemmy appriciating what Janet have done to produce 'Ongea na Janet' TV show. "It was marvelous"  Kwa picha zaidi Bofya hapa

Comments