Wasalaam,
Kwa
masikitiko makubwa, klabu ya soka ya Simba inasikitika kutangaza kifo cha baba
mzazi wa mchezaji wake, Rajab Isihaka, kilichotokea leo asubuhi (Machi 19)
jijini Dar es Salaam .
Msiba uko
nyumbani kwa marehemu Mzee Isihaka Mbagala Charambe jijini Dar es Salaam . Marehemu anatarajiwa kuzikwa
kesho.
Ezekiel
Kamwaga
Ofisa
Habari
Comments
Post a Comment