MUIGIZAJI maarufu nchini Nigeria OSITA Iheme ametangaza ni ya kutaka kufunga
ndoa ili aende sawa na pacha wake katika kazi Aki ambaye alifunga ndoa mwaka
jana.
Pawpaw ametangaza azima yake hiyo wakati alipokuwa akikabidhiwa tuzo
ya heshima ya Nigeria Member of the Order of the Federal Republic (MFR) na rais
wa nchi hiyo, Goodluck Jonathan.
Alisema kuwa anataka kufunga ndoa na mwanamke mwigizaji ambaye
ataishtua dunia siku atakapomuanika hadharani.
Comments
Post a Comment