STARS YALAZIMISHA SARE NA 'WAMACHINGA' February 29, 2012 Get link Facebook Twitter Pinterest Email Other Apps TIMU ya Taifa 'Taifa Stars' imtoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Msumbiji ‘Mambas’, katika mechi ya kuwania kufuzu Mataifa Afrika 2013, kupitia mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini dar es Salaam. Comments
Comments
Post a Comment