NEW JERSEY, Marekani
MTOTO wa Whitney Houston, Bobbi Kristina Brown anadaiwa
kufumwa akivuta madawa masaa machache tu baada ya mazishi ya mama yake.
Inadaiwa masaa manne hivi
baada ya shughuli za mazishi kumalizika Bobbi Kristina (18) akiwa na
marafiki zake pamoja na ndugu ghafla alitoweka na kwenda kusikojulikana.
Ingawaje mtu wa karibu na familia ya Houston
alisema Kristina alipelekwa kwenye kituo cha mafunzo ya kuacha dawa za kulevya
mwaka jana.
Binti huyo amekuwa huku
akimuona mama yake akitumia dawa za kulevya, familia yake imekuwa na wasiwasi
mkubwa wa Kristina kufuata nyayo za mama yake.
Comments
Post a Comment