Kocha
mkuu wa timu ya Tanzania Taifa Stars Jan Paulsen akizungumza na
waandishi wa habari katika mkutano uliok,utanisha kocha huyo pamoja na
wa timu ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika ofisi za TFF jijini
Dar es salaam leo, wakati makocha hao walipozungumzia maandalizi ya
mpambano wa kesho kati ya timu hizo ambapo amesema anaamini kwamba
mchezo huo utakuwa ni sehemu nzuri ya mazoezi kabla ya kikozi chake
kukutana na Msumbiji.
Naye kocha wa DRC Muntubile Santos wa pili kutoka kulia amesema
anaifahamu Tanzania na anaiheshimu, lakini pia aliamua kuichagua
Tanzania kutokana na soka lake linalofanana na soka la Kiingereza hivyo
anaamini kwamba mpambanbo huo utakuwa ni mazoezi mazuri kabla ya
kukutana na timu ya Sychelies.
Wengine katika picha kutoka kushotoBoniface Wambura Afisa habari wa
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF na Nzila Fanan afisa habari wa
shirikisho la mpira wa miguu nchini DRC Congo na.
Comments
Post a Comment