MAREHEMU JEREMIAH SUMARI
RAIS Jakaya Kikwete akitoa heshima za mwisho kwa mbunge wa Arumeru Mashariki (CCM) Jeremiah Sumari leo katika viwanja vya Karimjee.
“Tunaungana
na watanzania wote katika kuomboleza kifo cha mbunge Sumari ambaye
alikuwa ni mtu wa karibu katika klabu ya Simba, tunamuomba mwenyezimungu
aipumzishe roho yake pema peponi, Amin”, Alisema Ofisa habari wa Simba, Ezekiel Kamwaga.
wanyama bana msije mkatuambia na huyu alikua mnyama .....
ReplyDeletemdau wa bomba,Revere masachussetts,us