NYOTA wa Real Madrid, Mturuki Hamit Altintop kushoto akimwangalia mchezaji wa Barcelona Carles Puyol akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi katika mechi iliyopigwa kwenye dimba la Bernabeu huko Madrid jana ambapo Barca ilishinda mabao 2-1.Katika mchezo huo mabao ya Barca yalifungwa na Abidal na Puyol, huku lile la Madrid likifungwa na Ronaldo.
Comments
Post a Comment