NAHODHA wa Ghana, Jonathan Mensah, wa tatu kutoka kushoto, akilalamikia
na wachezaji wenzake baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu huku refa Diatta Badara wa
Senegal, wa pili kushoto, akimuonyesha kadi hiyo katika mechi ya Kombe la
Mataifa ya Afrika Kundi D dhidi ya Botswana kwenye Uwanja wa Stade de
Franceville, Franceville, Gabon.
Comments
Post a Comment