CHELSEA YASHIKWA January 21, 2012 Get link Facebook Twitter Pinterest Email Other Apps Grant Holt wa Norwich, akijaribu kumdhibiti David Luiz wa Chelsea, katika mechi ya Ligi Kuu ya England, baina ya timu hizo jana kwenye Uwanja wa Carrow Road, Norwich, England. Timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana. Comments
Comments
Post a Comment