YANGA WAPIGWA 2-0 NA AZAM December 20, 2011 Get link Facebook Twitter Pinterest Email Other Apps Kenneth Asamoah wa Yanga baada ya kumpiga chenga kipa wa Azam FC, Mwadini Ali lakini alishindwa kufunga bao. Yanga ilifungwa 2-0 na Azam leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, mabao ya Gaudence Mwaikimba na Mrisho Ngassa. Comments
Comments
Post a Comment