USAJILI VPL-YANGA SC

Taarifa hiyo imewataja wachezaji waliosajiliwa na Yanga ni pamoja na Athuman Idd (Huru) na Mzanzibar Atif Amour Khamis ambaye pia ni huru, huku ikiwapeleka kwa mkopo katika klabu ya Moro United, Fred Wilfred Mbuna na Julius Patrick Mrope.

Comments