Baadhi ya watoto wa wafanyakazi wa benki ya NMB wakiogelea katika bwawa lililopo katika ufukwe wa South Beach ikiwa ni katika Family Day ya benki hiyo
Mnamkumbuka Nina?ndo huyo hapo kulia katika pozi na shosti wake kwenye Family Day ya NMB
Ilikuwa ni burudani kwa kwenda mbele siku hiyo
Aron Nyanda, mchezaji wa zamani wa Yanga ambaye sasa aanpiga mzigo katika benki ya NMB naye alikuwemo katika Family Day yao, kulia ni Awadh
MIchezo ya kila aina ilikuwepo, yote ni katika kuadhimisha Family Day kwa wafanyakazi
Hapo Vipi leta mambo?
Ilikuwa ni full kujiachia, hapa watoto wakicheza kwa raha zao
Hapo sasa kila kitu ilikuwa ni burdaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaan
Ras Pampidou hakuwa nyuma katika kuwapa raha wafanyakazi wa NMB na familia zao
Vitoto vizuri kama hivi navyo vilikuwepo kuungana na familia nyingine
Comments
Post a Comment