Mlinzi wa mabingwa wa Asia Qatar's Al-Ssad, Nadir Belhadj (wapili kutoka kushoto) akicheza na mpira katika mazoezi ya timu hiyo huko Yoikohama, Tokyo,leo. Al-Ssad itakwaana na mabingwa wa Ulaya, BArceloana ya Hispania katika mechi ya nusu fainali ya michuano ya FIFA kwa upande wa vilabu itakayopigwa Desemba 15 mjini humo.
Comments
Post a Comment