KAMATI ya mpito iliyoteuliwa na TFF kwa ajili ya kusimamia mchakato wa kuanzishwa kampouni itakayosimamia ligi nchini, imewateua wajumbe wake watatu Geofrey Nyange 'Kaburu', Damas Ndumbaro na Meja Mbuge.
Wajumbe hao watashirikiana na kamati ya mpito ilitoundwa na vilabu kwa ajili ya kuendesha mchakato huo.
Wajumbe hao watashirikiana na kamati ya mpito ilitoundwa na vilabu kwa ajili ya kuendesha mchakato huo.
Comments
Post a Comment