Skip to main content
KILI STARS YAONA MWEZI CHALENJI, YAIBAMIZA DJIBOUT 3-0
TIMU ya Taifa ya Bara 'Kili Stars' leo imeshinda mechi yake ya kwanza kwenye michuano ya Chalenji baada ya kuigagadua Djibout kwa mabao 3-0, mechi iliyopigwa kwenye dimba la Taifa,jijini Dar es Salaam.
Comments
Post a Comment