C-PWAA BALOZI WA BIA YA KILIMANJARO

Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe, akikabidhi fungu la udhamini kwa msanii wa muziki wa Bongo Flava, Juma Ilunga Khalifa ‘Cpwaa’ aliyechaguliwa kushindania tuzo za Channel O za Video bora ya muziki kutoka Afrika Mashariki. Cpwaa alitangazwa kuwa Balozi wa Kilimanjaro katika Kampeni ya ‘Jivunie uTanzania’.

Comments