MBIO ZA MWENGE ZATIBUA RATIBA VPL

Mechi namba 89 ya Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Kagera Sugar na Coastal Union iliyopangwa kufanyika Novemba 2 mwaka Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba imesogezwa mbele kwa siku moja.

Uamuzi wa kusogeza mechi hiyo hadi Novemba 3 mwaka huu umetokana na wamiliki wa Uwanja wa Kaitaba kuruhusu utumike kwa sherehe za Mwenge wa Uhuru.

Comments