MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu soka Tanzania bara, Yanga leo wamefanikiwa kuifunga Villa Squad mabao 3-2, katika mechi ya ligi hiyo iliyopigwa kwenye dimba la Chamazi, jijini Dar es Salaam.
Katika mchezo huo uliokuwa na upinzani mkubwa, mabao ya Yanga yalifungwa na Haruna Niyonzima, Keneth Asamoah na Hamisi Kiiza huku yale ya Villa yakifungwa na Mohammed Kijuso na Kigi Luseke.
MWANANGU UWE UNATUWEKEA NA MSIMAMO WA LIGI BASI
ReplyDelete