TASWA FC KUUMANA NA DAR ES SALAAM ZOO KESHO

MWENYEKITI wa Taswa FC Majuto Omari alipokea jezi kwa ajili ya mechi yao ya kirafiki  na Dar es Salaam Zoo itakayopigwa kesho kwenye viwanja vya hifhadhi hizo vilivyopo Kigamboni jijini Dar es Salaam.

Comments