SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) limepokea malalamiko ya waamuzi kutoka klabu za Simba, Yanga na Azam zilizochezwa hivi karibuni kwenye viwanja tofauti.
Wambura alisema malalamiko ya Simba yaliwasilishwa TFF ni ya mchezo dhidi ya Toto Africa uliochezwa wiki iliyopita kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, wachezaji wa Simba walichezewa rafu za makusudi.
Aidha Wambura alisema walipokea pia malalamiko ya mchezo kati ya Yanga na Ruvu Shooting mwamuzi wa mchezo huo kwamba aliipendelea Shooting.
Comments
Post a Comment