Wakati kocha mkuu wa Simba Mganda Moses Basena akitimkia kwao, wachezaji wa timu hiyo wamepewa mapumziko mafupi hadi oktoba mosi.
Basena amekwenda kwao kwa ajili ya kumuuguza mama yake, huku wachezaji hao wakitarajiwa kuanza mazoezi oktoba mosi ili kujiandaa na michezo yaio ya ligi kuu soka tanzania bara
Basena amekwenda kwao kwa ajili ya kumuuguza mama yake, huku wachezaji hao wakitarajiwa kuanza mazoezi oktoba mosi ili kujiandaa na michezo yaio ya ligi kuu soka tanzania bara
BESENA KAANZA KALE KA MCHEZO KA MZAMBIA PHIRI,KAZI KWENU WANYAMA,MAUMIVU YA KICHWA CHA JUU HUANZAGA POLE POLE
ReplyDelete