VINARA wa ligi kuu soka Tanzania bara, Simba wapo jijini Mwanza kujiandaa na mechi yao na wenyeji Toto African ya huko itakayopigwa kesho katika dimba la CCM Kirumba, jijini Mwanza.
KOcha MKuu wa Simba Mganda Moses Basena amesema amekjifanyia marekebisho kikosi chake ili kuhakikisha kinapata ushindi mnono katika mechi hiyo.
KOcha MKuu wa Simba Mganda Moses Basena amesema amekjifanyia marekebisho kikosi chake ili kuhakikisha kinapata ushindi mnono katika mechi hiyo.
TUMEYAONA MAREKEBISHO ALIYOYAFANYA BWANA BESENA,TOTO LETU OYEEEEEEEEEEEEEEE
ReplyDelete