- Get link
- Other Apps
Bao pekee la Gervais Kago Uwanja wa Azam, Chamazi mbele ya mashabiki 5000 na ushehe leo limeipa Simba ushindi wa 1-0 dhidi ya Polisi na sasa ina pointi 13 kileleni, tatu zaidi ya JKT Ruvu wanaoshika nafas ya pili wakiwa na pointi 10.
EEH!NAONA MNATAKA KURUDIA ILE REKODI YENU YA KUTENGENEZA MWAKA JUZI MLIPOMALIZA BILA KUFUNGWA HALAFU MLIPOENDA KWENYE CHAMPION LEAGUE MKATUTIA AIBU YA MWAKA KWA KUPIGWA HAMSA NA HARRASS AL HODOOD YA EGYPT..KABLA YA KWENDA KUTUTIA AIBU KWENYE KAGAME KIGALI KWA KUTOLEWA KWENYE HATUA YA AWALI
ReplyDelete