VINARA wa ligi kuu bara Simba Sc leo wameshindwa kuyendeleza ushindi wao katika ligi kuu soka Tanzania bara baada ya kutoka suluhu ya 0-0 na Azam Fc, mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa.
BORA WANYAMA NAO WAMEVUTWA MKIA KIDOGO MAANA ADEN HAPO KAMA NAMUONA NA JAMAA ZANGU WA MPIRA PESA NA RADIO YAO PALE KARIAKOO OPPOSITE NA CLUB YA WANYAMA JINSI WALIVYOKUA NA RAHA KIPINDI HIKI
BORA WANYAMA NAO WAMEVUTWA MKIA KIDOGO MAANA ADEN HAPO KAMA NAMUONA NA JAMAA ZANGU WA MPIRA PESA NA RADIO YAO PALE KARIAKOO OPPOSITE NA CLUB YA WANYAMA JINSI WALIVYOKUA NA RAHA KIPINDI HIKI
ReplyDelete