Kushoto Bondia Saimon Mwakwenda wa Songea akizipiga na Elieza Mwakipesile wa Njombe, Matokeo Saimon alishinda kwa Pointi, katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Majimaji,Songea. Saiomn anaingia tena ulingoni tarehe 01/10/2011 kuzidunda na Bryan Mwando wa Zimbabwe . Pambano litakuwa la raundi 6 usiokuwa na ubingwa, katika uzani wa Light Middle, kilo 69, ukitanguliwa na mpambano wa wanawake: Zamda Amani wa Songea VS Agness Mtima Ukanena wa Malawi , mchezo huu utakuwa wa raundi nne, uzani wa Walter kilo 66.
Comments
Post a Comment