WAKATI mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara baina ya Simba na Toto African ya Mwanza ukiendelea kwenye dimba la CCM Kirumba,Mwanza mbwa wa Polisi alimponyoka Askari na kuingia uwanjani ambapo alianza kuwatimua wachezaji.
Hata hivyo, mbwa huyo alikuwa akimzonga zaidi kiungo mshambuliaji wa Simba, Haruna Moshi ‘Boban’ na hivyo kusababisha mpira kusimama kwa muda.
Haikujulikana sababu ya Mbwa huyo kumchomoka Askari na kukimbilia uwanjani na jambo la kujiuliza ni kwanini alikuwa akimzonga zaidi Boban?.
Hata hivyo, mbwa huyo alikuwa akimzonga zaidi kiungo mshambuliaji wa Simba, Haruna Moshi ‘Boban’ na hivyo kusababisha mpira kusimama kwa muda.
Haikujulikana sababu ya Mbwa huyo kumchomoka Askari na kukimbilia uwanjani na jambo la kujiuliza ni kwanini alikuwa akimzonga zaidi Boban?.
WE NAWE UNAISHI NCHI GANI?MIMI NIKO HUKU MBALI NA BONGO NAYAJUA MAMBO YA HARUNA,MBWA WANAJUA KU SENSE YALE MAJANI
ReplyDeleteMDAU WA BOMBA LA UHURU NA KATI YA MICHIGAN USA
NI KWERI YAWEZEKANA BOBAN KABLA YA MECHI ALIUKOKA MCHE WA BANGI KWA KUWA WALE MBWA WANAUWEZO WA KUTAMBUA MVUTA BANGI AMBAYE ALIVUTA ZAIDI YA MASAA 6 YALIYOPITA KWA HIYO HUYO NDUGU YETU AACHANE NA HAYO MABANGI YAKE YATAJA MLETEA MATATIZO KTK MPIRA WAKE NA MAISHANI MWAKE PIA ATAJA JIKUTA YUKO CHIZI WATABAKI OH KALOGWA SIJUI NINI NA NINI - MDAU WA UGHAIBUNI
ReplyDelete