BALOZI WA ZAMBIA NCHINI APAGAWA NA NGOMA ZA ASILI

 Balozi wa Zambia nchini Tanzania, Mavis Lengalenga (kushoto) akicheza ngoma ya asili iliyokuwa ikitolewa na kikundi cha Sanaa cha Makanjani  kutoka nchini Zambia, wakati wa maadhimisho ya Kumbukumbu ya miaka 35 ya reli ya Tazara kuelekea maadhimisho ya  miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania. Maonyesho hayo yalifanyika leo Septemba  14 katika Viwanja vya Tazara jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadi Balozi wa Zambia nchini TanzaniaMavis Lengalenga, ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango nchi yake katika ujenzi na maendeleo ya Reli ya Tazara, wakati wa maadhimisho ya Kumbukumbu ya miaka 35 ya reli ya Tazara kuelekea maadhimisho ya  miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania. Mzee Nchimbi na mkewe wamepewa zawadi ya kusafiri na treni ya TAZARA bure katika kipindi chote cha maisha yao.

Kikundi cha Sanaa cha Makanjani kutoka nchi Zambia,  kikitoa burudani wakati wa maadhimisho ya Kumbukumbu ya miaka 35 ya reli ya Tazara kuelekea maadhimisho ya  miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania. Maonyesho hayo yalifanyika leo Septemba  14 katika Viwanja vya Tazara jijini Dar es Salaam

Kikundi cha Sanaa cha Polisi Tanzania, kikitoa burudani wakati wa maadhimisho ya Kumbukumbu ya miaka 35 ya reli ya Tazara kuelekea maadhimisho ya  miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania. Maonyesho hayo yalifanyika leo Septemba  14 katika Viwanja vya Tazara jijini Dar es Salaam.

Balozi wa Zambia nchini Tanzania, Mavis Lengalenga (katikati) akicheza ngoma ya asili iliyokuwa ikitolewa na kikundi cha Sanaa cha Makanjani  kutoka nchini Zambia, wakati wa maadhimisho ya Kumbukumbu ya miaka 35 ya reli ya Tazara kuelekea maadhimisho ya  miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania. Maonyesho hayo yalifanyika leo Septemba  14 katika Viwanja vya Tazara jijini Dar es Salaam. Picha http://www.sufianimafoto.blogspot.com/

Comments