TORRES AUANZA MSIMU VIBAYA August 12, 2011 Get link Facebook Twitter Pinterest Email Other Apps Fernando Torres anaweza kuikosa mechi ya ufunguzi ya Ligi Kuu ya England ka5ti ya klabu yake, Chelsea dhidi ya Stoke Jumapili baada ya kuumia kichwani akiichezea timu yake ya taifa katika mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Italia. H Comments
Comments
Post a Comment