REAL YAUA 6-0 LA LIGA

Mshambuliaji Mfaransa wa Real Madrid, Karim Benzema akishangilia baada ya kufunga katika mechi ya ufunguzi ya Ligi Kuu ya Hispania usiku huu dhidi ya Zaragoza kwenye Uwanja wa La Romareda mjini Zaragoza. Real Madrid ilishinda 6-0.

Comments