BIG BON YANUNUA MECHI YA SIMBA NA YANGA KWA MILIONI 300

KAMPUNI  ya manuta ya big bon imejitosa kununua mechi ya ngao ya jamii baina ya mahasimu wa jadi nchini Simba na Yanga itakayopigwa Agosti 17 kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Comments