Mshambuliaji wa Lyon, Muargentina Lisandro Lopez, juu akishangilia na wachezaji wenzake baada ya Jeremy Pied, nyuma kufunga bao la ushindi dhidi ya Montpellier, katika Ligi Kuu ya Ufaransa leo kwenye Uwanja wa Gerland mjini Lyon, Ufaransa. Lyon ilishinda 2-1.
Comments
Post a Comment