Duuh, mambo yanaanza hivi hivi...tumetoka kwenye `umeme'...foleni yake haistahili kusimama kama hivyo, ila mnakaa tu gizani mkisubiri, ukiwaka kidogo, unasikia `aaaaah' utafikiri goli limeingia mara umezima, inabakia `jiiiiiiiiiii' Sasa mafuta, kitafuta nini tena sijui, mungu atuepushilie mbali...!
Duuh, mambo yanaanza hivi hivi...tumetoka kwenye `umeme'...foleni yake haistahili kusimama kama hivyo, ila mnakaa tu gizani mkisubiri, ukiwaka kidogo, unasikia `aaaaah' utafikiri goli limeingia mara umezima, inabakia `jiiiiiiiiiii'
ReplyDeleteSasa mafuta, kitafuta nini tena sijui, mungu atuepushilie mbali...!