Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Airtel Tanzania Jackson Mmbando (kulia)akishuhudia Ofisa Uhusiano wake Jane Matinde (wa pili kulia) akikabidhi mfano wa hundi ya sh.milioni 15/- kwa mwakilishi wa Kampuni ya Capital Plus International (CPI) Mary Masaga(kushoto) kama udhamini wao katika mashindano ya riadha ya Rock City Marathon 2011 yatakayofanyika Jijini Mwanza Septemba 4 mwaka huu.Wa pili kushoto ni Katibu Mkuu wa Chama cha Riadha Tanzania (RT) Suleiman Nyambui akishuhudia hafla hiyo iliyofanyika Dar es Salaam.
Comments
Post a Comment