Mechi ya Twiga Stars itachezwa saa 9.15 kwa saa za hapa (saa 10.15 kwa saa za
Twiga Stars inayoongozwa na nahodha wake Sophia Mwasikili imefanya mazoezi mepesi leo asubuhi kwenye Uwanja wa Rufaro kujiweka tayari kwa ajili ya pambano
Akizungumza baada ya mazoezi, Kocha Mkuu wa Twiga, Charles Mkwasa amesema
"
Kwa kawaida wanamtegemea yule mshambuliaji wao mrefu wa kati (Rufaro Mutyavaviri) huku wakitumia
"Kikosi hakitakuwa na mabadiliko ambapo Ettoe Mlenzi aliyekuwa na kadi mbili za njano atarejea uwanjani. Mabadiliko yatakuwa kwa beki wa kushoto ambapo kwenye mechi ya
Mutyavaviri ndiye anayeongoza katika ufungaji katika michuano hiyo ambapo kwenye mechi kati ya timu yake na
Twiga Stars ni miongoni mwa timu ambazo tangu awali zilikuwa zikipewa nafasi ya kutwaa ubingwa kutokana na kushiriki fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zilizofanyika mwishoni mwa mwaka jana nchini Afrika Kusini. Nyingine ni wenyeji Mighty Warriors na Banyana Banyana ambazo zote zimefuzu kwa hatua ya nusu fainali.
Wachezaji watakaonza kwa Twiga Stars katika mechi ya kesho ni Fatuma Omary,Fatuma Makusanya, Fatuma Khatibu, Sophia Mwasikili, Mwanaidi Tamba, Mwajuma Abdallah, Mwanahamisi Omary, Ettoe Mlenzi, Fatuma Mustafa, Asha Rashid naFadhila Kigalawa.
Twiga Stars imekuwa ikishangiliwa kwa nguvu na Watanzania wanaoishi hapa wakiongozwa na Balozi Adadi Rajab ambaye ameshuhudia mechi zote za timu hiyo.
Mechi kati ya Twiga Stars na Mighty Warriors itaoneshwa moja kwa moja (live) kupitia SuperSport 4 na Shirika la Utanganzaji la
Timu ambazo zimeaga mashindano baada ya kushindwa kufuzu kwa hatua ya nusu fainali jana ni
Boniface Wambura
TFF Media Officer
Harare
Comments
Post a Comment